MAREKANI KUZIPATIA KENYA ,BURUNDI, UGANDA NA DJIBOUT SILAHA DHIDI YA ALSHABAB
Washington D.C -Marekani,
Kwa mujibu wa gazeti la Wall Street la Marekani katika habari yake hapo juzi tarehe 20,Kenya watapatiwa ndege zinazoruka bila rubani zipatazo nane na vifaa vingine vya kijeshi ikiwemo magari yenye silaha.
Nchi nyingine zilizobaki ambazo ni Uganda,Burundi na Djibout zitapatiwa vifaa vya kijeshi pia kuzisaidia kukabiliana na waasi hao.
0 comments: